Methali 15:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ni afadhali kuwa na vichache na kumwogopa Yehova+Kuliko kuwa na mali nyingi pamoja na mahangaiko.*+ Yakobo 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Sikilizeni, ndugu zangu wapendwa. Je, Mungu hakuwachagua walio maskini kwa maoni ya ulimwengu ili wawe matajiri katika imani+ na warithi wa Ufalme, aliowaahidi wale wanaompenda?+
16 Ni afadhali kuwa na vichache na kumwogopa Yehova+Kuliko kuwa na mali nyingi pamoja na mahangaiko.*+
5 Sikilizeni, ndugu zangu wapendwa. Je, Mungu hakuwachagua walio maskini kwa maoni ya ulimwengu ili wawe matajiri katika imani+ na warithi wa Ufalme, aliowaahidi wale wanaompenda?+