Methali 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana midomo ya mwanamke aliyepotoka* inadondoka kama sega la asali,+Na kinywa chake ni laini kuliko mafuta.+ Methali 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nimefika ukingoni mwa maangamizi kamiliKatikati ya kutaniko lote.”*+ Methali 7:22, 23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ghafla kijana huyo anamfuata, kama ng’ombe dume anayeenda machinjioni,Kama mjinga anayeenda kuadhibiwa katika mikatale,*+23 Mpaka mshale unapochoma ini lake;Kama ndege anayekimbia kuingia mtegoni, hajui kwamba hilo litamgharimu uhai wake.*+ Methali 22:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kinywa cha wanawake waliopotoka* ni shimo refu.+ Anayeshutumiwa na Yehova ataanguka ndani yake.
3 Kwa maana midomo ya mwanamke aliyepotoka* inadondoka kama sega la asali,+Na kinywa chake ni laini kuliko mafuta.+
22 Ghafla kijana huyo anamfuata, kama ng’ombe dume anayeenda machinjioni,Kama mjinga anayeenda kuadhibiwa katika mikatale,*+23 Mpaka mshale unapochoma ini lake;Kama ndege anayekimbia kuingia mtegoni, hajui kwamba hilo litamgharimu uhai wake.*+