Methali 21:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mtu mwenye hekima anaweza kupanda katika* jiji la watu wenye nguvuNa kudhoofisha nguvu wanazotumaini.+ Methali 24:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mtu mwenye hekima ana nguvu,+Na kwa ujuzi mtu huzidisha nguvu zake. Mhubiri 7:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana hekima ni ulinzi+ kama pesa zilivyo ulinzi,+ lakini hii ndiyo faida ya ujuzi: Hekima humhifadhi hai yule aliye nayo.+ Mhubiri 7:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Hekima humfanya mtu mwenye hekima awe na nguvu zaidi kuliko wanaume kumi wenye nguvu walio jijini.+ Mhubiri 9:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hekima ni bora kuliko silaha za vita, lakini mtenda dhambi mmoja tu anaweza kuharibu mambo mengi mazuri.+
22 Mtu mwenye hekima anaweza kupanda katika* jiji la watu wenye nguvuNa kudhoofisha nguvu wanazotumaini.+
12 Kwa maana hekima ni ulinzi+ kama pesa zilivyo ulinzi,+ lakini hii ndiyo faida ya ujuzi: Hekima humhifadhi hai yule aliye nayo.+
19 Hekima humfanya mtu mwenye hekima awe na nguvu zaidi kuliko wanaume kumi wenye nguvu walio jijini.+
18 Hekima ni bora kuliko silaha za vita, lakini mtenda dhambi mmoja tu anaweza kuharibu mambo mengi mazuri.+