Isaya 61:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 61 Roho ya Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova iko juu yangu,+Kwa sababu Yehova alinitia mafuta niwatangazie wapole habari njema.+ Alinituma kuyafunga majeraha ya waliovunjika moyo,Kuwatangazia mateka uhuruNa kutangaza kwamba macho ya wafungwa yatafunguliwa kabisa,+ 1 Petro 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini ninyi ni “jamii iliyochaguliwa, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu,+ na watu walio mali ya pekee,+ ili mtangaze kotekote sifa bora”*+ za Yule aliyewaita kutoka katika giza kuingia katika nuru yake ya ajabu.+
61 Roho ya Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova iko juu yangu,+Kwa sababu Yehova alinitia mafuta niwatangazie wapole habari njema.+ Alinituma kuyafunga majeraha ya waliovunjika moyo,Kuwatangazia mateka uhuruNa kutangaza kwamba macho ya wafungwa yatafunguliwa kabisa,+ 1 Petro 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini ninyi ni “jamii iliyochaguliwa, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu,+ na watu walio mali ya pekee,+ ili mtangaze kotekote sifa bora”*+ za Yule aliyewaita kutoka katika giza kuingia katika nuru yake ya ajabu.+
9 Lakini ninyi ni “jamii iliyochaguliwa, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu,+ na watu walio mali ya pekee,+ ili mtangaze kotekote sifa bora”*+ za Yule aliyewaita kutoka katika giza kuingia katika nuru yake ya ajabu.+