Isaya 49:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Pigeni vigelegele vya shangwe, enyi mbingu, na ushangilie, Ee dunia.+ Milima na ichangamke kwa kilio cha shangwe.+ Kwa maana Yehova amewafariji watu wake,+Naye huwaonyesha rehema watu wake mwenyewe wanaoteseka.+ Isaya 55:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana ninyi mtatoka nje kwa shangwe,+Nanyi mtarudishwa kwa amani.+ Milima na vilima vitachangamka mbele yenu kwa vigelegele vya shangwe,+Na miti yote ya msituni itapiga makofi.+
13 Pigeni vigelegele vya shangwe, enyi mbingu, na ushangilie, Ee dunia.+ Milima na ichangamke kwa kilio cha shangwe.+ Kwa maana Yehova amewafariji watu wake,+Naye huwaonyesha rehema watu wake mwenyewe wanaoteseka.+
12 Kwa maana ninyi mtatoka nje kwa shangwe,+Nanyi mtarudishwa kwa amani.+ Milima na vilima vitachangamka mbele yenu kwa vigelegele vya shangwe,+Na miti yote ya msituni itapiga makofi.+