41 “Kisha atawaambia wale walio kwenye mkono wake wa kushoto: ‘Ondokeni kwangu+ ninyi mliolaaniwa, nendeni katika moto wa milele+ aliotayarishiwa Ibilisi na malaika zake.+
47 Na ikiwa jicho lako linakufanya ukwazike, litupe mbali.+ Ni afadhali uingie katika Ufalme wa Mungu ukiwa na jicho moja kuliko kutupwa katika Gehena ukiwa na macho mawili,*+48 mahali ambapo funza hawafi na moto hauzimwi.+