Isaya 5:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova wa majeshi ameapa masikioni mwanguKwamba nyumba nyingi, ingawa ni kubwa na maridadi,Zitakuwa kitu cha kutisha,Bila mkaaji.+ Yeremia 38:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini usipojisalimisha* kwa wakuu wa mfalme wa Babiloni, jiji hili litatiwa mikononi mwa Wakaldayo, nao wataliteketeza kwa moto,+ nawe hutaponyoka mikononi mwao.’”+
9 Yehova wa majeshi ameapa masikioni mwanguKwamba nyumba nyingi, ingawa ni kubwa na maridadi,Zitakuwa kitu cha kutisha,Bila mkaaji.+
18 Lakini usipojisalimisha* kwa wakuu wa mfalme wa Babiloni, jiji hili litatiwa mikononi mwa Wakaldayo, nao wataliteketeza kwa moto,+ nawe hutaponyoka mikononi mwao.’”+