2 Utaiteketeza theluthi moja ya nywele hizo katika moto ndani ya jiji siku za kuzingira zitakapokamilika.+ Kisha utachukua theluthi nyingine nawe utaipiga kwa upanga kulizunguka jiji pande zote,+ na theluthi ya mwisho utaitawanya kwenye upepo, nami nitauchomoa upanga ili kuwakimbiza.+