Mwanzo 10:9, 10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Alikuwa mwindaji hodari aliyempinga Yehova. Ndiyo sababu kuna msemo usemao: “Kama Nimrodi, mwindaji hodari aliyempinga Yehova.” 10 Ufalme wake ulianzia* Babeli,+ Ereki,+ Akadi, na Kalne, katika nchi ya Shinari.+
9 Alikuwa mwindaji hodari aliyempinga Yehova. Ndiyo sababu kuna msemo usemao: “Kama Nimrodi, mwindaji hodari aliyempinga Yehova.” 10 Ufalme wake ulianzia* Babeli,+ Ereki,+ Akadi, na Kalne, katika nchi ya Shinari.+