20 “Yehova wa majeshi anasema hivi: ‘Itatukia kwamba mataifa na wakaaji wa majiji mengi watakuja; 21 na wakaaji wa jiji moja wataenda kwa wakaaji wa jiji lingine na kuwaambia: “Twendeni kwa bidii tukamsihi Yehova atupe kibali chake* na kumtafuta Yehova wa majeshi. Mimi pia nitaenda.”+