Matendo 5:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Basi wakatoka mbele ya Sanhedrini, wakishangilia+ kwa sababu walikuwa wamestahili kuvunjiwa heshima kwa ajili ya jina lake. Waroma 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Si hilo tu, bali na tushangilie* tukiwa katika dhiki,+ kwa kuwa tunajua kwamba dhiki hutokeza uvumilivu;+
41 Basi wakatoka mbele ya Sanhedrini, wakishangilia+ kwa sababu walikuwa wamestahili kuvunjiwa heshima kwa ajili ya jina lake.
3 Si hilo tu, bali na tushangilie* tukiwa katika dhiki,+ kwa kuwa tunajua kwamba dhiki hutokeza uvumilivu;+