Mathayo 18:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 na kusema: “Kwa kweli ninawaambia, msipogeuka* na kuwa kama watoto wadogo,+ hamtaingia kamwe katika Ufalme wa mbinguni.+ Yohana 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yesu akajibu: “Kwa kweli ninakuambia, mtu asipozaliwa kwa maji+ na roho,+ hawezi kuingia katika Ufalme wa Mungu.
3 na kusema: “Kwa kweli ninawaambia, msipogeuka* na kuwa kama watoto wadogo,+ hamtaingia kamwe katika Ufalme wa mbinguni.+
5 Yesu akajibu: “Kwa kweli ninakuambia, mtu asipozaliwa kwa maji+ na roho,+ hawezi kuingia katika Ufalme wa Mungu.