Kumbukumbu la Torati 24:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “Mwanamume akimwoa mwanamke lakini hapendezwi naye kwa sababu ameona jambo fulani lisilofaa kwake, ni lazima amwandikie mwanamke huyo cheti cha talaka,+ ampe, na kumruhusu aondoke nyumbani mwake.+ Mathayo 19:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mafarisayo wakaja wakikusudia kumjaribu Yesu, wakamuuliza: “Je, ni halali mwanamume kumtaliki mke wake kwa sababu yoyote ile?”+ Mathayo 19:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Akawajibu: “Musa aliwaruhusu kuwataliki wake zenu kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu,+ lakini haikuwa hivyo tangu mwanzo.+ Marko 10:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mafarisayo wakaja, wakikusudia kumjaribu, wakamuuliza kama ni halali kwa mwanamume kumtaliki mke wake.+ Marko 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wakasema: “Musa aliruhusu kumwandikia cheti cha kumfukuza na kumtaliki.”+
24 “Mwanamume akimwoa mwanamke lakini hapendezwi naye kwa sababu ameona jambo fulani lisilofaa kwake, ni lazima amwandikie mwanamke huyo cheti cha talaka,+ ampe, na kumruhusu aondoke nyumbani mwake.+
3 Mafarisayo wakaja wakikusudia kumjaribu Yesu, wakamuuliza: “Je, ni halali mwanamume kumtaliki mke wake kwa sababu yoyote ile?”+
8 Akawajibu: “Musa aliwaruhusu kuwataliki wake zenu kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu,+ lakini haikuwa hivyo tangu mwanzo.+
2 Mafarisayo wakaja, wakikusudia kumjaribu, wakamuuliza kama ni halali kwa mwanamume kumtaliki mke wake.+