Yohana 11:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hiyo Tomasi, aliyeitwa Pacha, akawaambia wanafunzi wenzake: “Sisi pia, twendeni tukafe pamoja naye.”+ Yohana 20:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kisha akamwambia Tomasi: “Weka kidole chako hapa, uone mikono yangu, na ulete mkono wako uguse ubavu wangu, ili uache kuwa na shaka* bali uamini.”
16 Kwa hiyo Tomasi, aliyeitwa Pacha, akawaambia wanafunzi wenzake: “Sisi pia, twendeni tukafe pamoja naye.”+
27 Kisha akamwambia Tomasi: “Weka kidole chako hapa, uone mikono yangu, na ulete mkono wako uguse ubavu wangu, ili uache kuwa na shaka* bali uamini.”