21 “Pia, mtu yeyote akiwaambia, ‘Tazama! Kristo yuko hapa,’ ‘Tazama! yuko pale,’ msiamini.+ 22 Kwa maana Kristo wengi wa uwongo na manabii wa uwongo+ watatokea na kufanya ishara na maajabu ili kuwapotosha, ikiwezekana, hata wale waliochaguliwa. 23 Basi, jihadharini.+ Nimewaambia mambo yote mapema.