Wakolosai 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini sasa, kwa kweli, lazima myaondoe mambo haya yote kutoka kwenu: ghadhabu, hasira, ubaya,+ matusi,+ na maneno machafu+ kutoka kinywani mwenu.
8 Lakini sasa, kwa kweli, lazima myaondoe mambo haya yote kutoka kwenu: ghadhabu, hasira, ubaya,+ matusi,+ na maneno machafu+ kutoka kinywani mwenu.