Mathayo 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Kwa maana mkiwasamehe watu makosa yao, Baba yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi pia;+ Mathayo 18:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Baba yangu wa mbinguni atawatendea ninyi vivyo hivyo+ ikiwa kila mmoja wenu hatamsamehe ndugu yake kutoka moyoni.”+ Marko 11:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na mnaposimama kusali, wasameheni watu makosa waliyowatendea; ili Baba yenu aliye mbinguni awasamehe ninyi makosa yenu pia.”+
35 Baba yangu wa mbinguni atawatendea ninyi vivyo hivyo+ ikiwa kila mmoja wenu hatamsamehe ndugu yake kutoka moyoni.”+
25 Na mnaposimama kusali, wasameheni watu makosa waliyowatendea; ili Baba yenu aliye mbinguni awasamehe ninyi makosa yenu pia.”+