Matendo 16:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hiyo akafika Derbe na pia Listra.+ Huko kulikuwa na mwanafunzi aliyeitwa Timotheo,+ mama yake alikuwa Myahudi aliyekuwa mwamini, lakini baba yake alikuwa Mgiriki, 2 na alishuhudiwa vema na akina ndugu huko Listra na Ikoniamu. Waroma 16:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Timotheo, mfanyakazi mwenzangu anawasalimu ninyi, na pia Lukio, Yasoni, na Sosipata, watu wangu wa ukoo.+ 1 Wakorintho 16:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Sasa Timotheo+ akifika, hakikisheni kwamba haogopi chochote akiwa kati yenu, kwa maana anafanya kazi ya Yehova,*+ kama mimi.
16 Kwa hiyo akafika Derbe na pia Listra.+ Huko kulikuwa na mwanafunzi aliyeitwa Timotheo,+ mama yake alikuwa Myahudi aliyekuwa mwamini, lakini baba yake alikuwa Mgiriki, 2 na alishuhudiwa vema na akina ndugu huko Listra na Ikoniamu.
21 Timotheo, mfanyakazi mwenzangu anawasalimu ninyi, na pia Lukio, Yasoni, na Sosipata, watu wangu wa ukoo.+
10 Sasa Timotheo+ akifika, hakikisheni kwamba haogopi chochote akiwa kati yenu, kwa maana anafanya kazi ya Yehova,*+ kama mimi.