Waefeso 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 sikuzote mkimtolea shukrani+ Mungu na Baba yetu kwa ajili ya mambo yote katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo.+ Wakolosai 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Jambo lolote mnalofanya kwa maneno au kwa matendo, fanyeni mambo yote katika jina la Bwana Yesu, mkimshukuru Mungu Baba kupitia kwake.+
20 sikuzote mkimtolea shukrani+ Mungu na Baba yetu kwa ajili ya mambo yote katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo.+
17 Jambo lolote mnalofanya kwa maneno au kwa matendo, fanyeni mambo yote katika jina la Bwana Yesu, mkimshukuru Mungu Baba kupitia kwake.+