5 Wanafunzi wote wakakubaliana na jambo walilosema, nao wakamchagua Stefano, mwanamume aliyejaa imani na roho takatifu, vilevile Filipo,+ Prokoro, Nikanori, Timoni, Parmena, na Nikolao, mgeuzwa-imani wa Antiokia. 6 Wakawaleta kwa mitume, na baada ya kusali, wakaweka mikono juu yao.+