Methali 5:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Je, chemchemi zako zitawanywe nje,Na vijito vyako vya maji katika viwanja vya jiji?+ Methali 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi mwanangu, kwa nini usisimuliwe na mwanamke aliyepotoka*Au kukikumbatia kifua cha mwanamke mwasherati?*+ Mathayo 5:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Lakini ninawaambia kila mtu anayeendelea kumtazama mwanamke+ na kumtamani tayari amefanya uzinzi naye moyoni+ mwake.
20 Basi mwanangu, kwa nini usisimuliwe na mwanamke aliyepotoka*Au kukikumbatia kifua cha mwanamke mwasherati?*+
28 Lakini ninawaambia kila mtu anayeendelea kumtazama mwanamke+ na kumtamani tayari amefanya uzinzi naye moyoni+ mwake.