Zaburi 39:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa hakika kila mwanadamu hutembea huku na huku kama kivuli. Hukimbia huku na huku* bila sababu. Hurundika mali, bila kujua ni nani atakayeifurahia.+ Methali 27:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Usijigambe kuhusu kesho,Kwa maana hujui siku italeta nini.*+ Mhubiri 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ni nani anayejua ni jambo gani lililo bora kwa mwanadamu kufanya maishani katika siku chache za maisha yake ya ubatili, anazotumia kama kivuli?+ Kwa maana ni nani anayeweza kumwambia mwanadamu yatakayotukia chini ya jua baada ya kifo chake?
6 Kwa hakika kila mwanadamu hutembea huku na huku kama kivuli. Hukimbia huku na huku* bila sababu. Hurundika mali, bila kujua ni nani atakayeifurahia.+
12 Ni nani anayejua ni jambo gani lililo bora kwa mwanadamu kufanya maishani katika siku chache za maisha yake ya ubatili, anazotumia kama kivuli?+ Kwa maana ni nani anayeweza kumwambia mwanadamu yatakayotukia chini ya jua baada ya kifo chake?