Zaburi 103:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova ni mwenye rehema na mwenye huruma,*+Si mwepesi wa hasira naye ana upendo mwingi mshikamanifu.*+ Luka 6:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Endeleeni kuwa wenye rehema, kama Baba yenu alivyo mwenye rehema.+
8 Yehova ni mwenye rehema na mwenye huruma,*+Si mwepesi wa hasira naye ana upendo mwingi mshikamanifu.*+