2 Wakorintho 4:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana ingawa dhiki* ni ya muda mfupi na ni nyepesi, inatokeza kwa ajili yetu utukufu ulio mkuu* na bora zaidi na zaidi, na wa milele;+ 2 Timotheo 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa kweli, wote wanaotamani kuishi kwa ujitoaji-kimungu* katika ushirika na Kristo Yesu watateswa pia.+
17 Kwa maana ingawa dhiki* ni ya muda mfupi na ni nyepesi, inatokeza kwa ajili yetu utukufu ulio mkuu* na bora zaidi na zaidi, na wa milele;+
12 Kwa kweli, wote wanaotamani kuishi kwa ujitoaji-kimungu* katika ushirika na Kristo Yesu watateswa pia.+