18 Kwa maana mnajua kwamba mliwekwa huru+ kutoka kwenye mwenendo wenu usio na faida ambao mlipokea kutoka kwa mababu zenu, si kwa vitu vyenye kuharibika, kwa fedha au dhahabu, 19 bali ilikuwa kwa damu yenye thamani,+ kama ile ya mwanakondoo asiye na dosari+ na asiye na doa, ile ya Kristo.+