Isaya 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Akalilima na kuondoa mawe ndani yake. Akapanda mzabibu bora mwekundu,Akajenga mnara katikati yake,Naye akachimba shinikizo la divai ndani yake.+ Kisha akaendelea kutumaini kwamba litazaa zabibu,Lakini lilizaa zabibu za mwituni peke yake.+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 5:2 w06 6/15 17-18; ip-1 73-74, 76-78 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 5:2 Mnara wa Mlinzi,6/15/2006, kur. 17-18 Unabii wa Isaya 1, kur. 73-74, 76, 77-78
2 Akalilima na kuondoa mawe ndani yake. Akapanda mzabibu bora mwekundu,Akajenga mnara katikati yake,Naye akachimba shinikizo la divai ndani yake.+ Kisha akaendelea kutumaini kwamba litazaa zabibu,Lakini lilizaa zabibu za mwituni peke yake.+