Yeremia 7:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini mliendelea kufanya mambo hayo yote,’ asema Yehova, ‘na ingawa nilizungumza nanyi tena na tena,* hamkusikiliza.+ Niliendelea kuwaita, lakini hamkujibu.+
13 Lakini mliendelea kufanya mambo hayo yote,’ asema Yehova, ‘na ingawa nilizungumza nanyi tena na tena,* hamkusikiliza.+ Niliendelea kuwaita, lakini hamkujibu.+