Yeremia 7:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini niliwaamuru hivi: “Tiini sauti yangu, nami nitakuwa Mungu wenu, nanyi mtakuwa watu wangu.+ Ni lazima mtembee katika njia yote ninayowaamuru, ili mambo yawaendee vema.”’+ Yeremia Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 7:23 w99 8/15 29 Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 7:23 Mnara wa Mlinzi,8/15/1999, uku. 29
23 Lakini niliwaamuru hivi: “Tiini sauti yangu, nami nitakuwa Mungu wenu, nanyi mtakuwa watu wangu.+ Ni lazima mtembee katika njia yote ninayowaamuru, ili mambo yawaendee vema.”’+