Ezekieli 33:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 na mtu huyo mwovu arudishe kitu kilichowekwa rehani+ na kulipa vitu alivyomnyang’anya mwingine,+ naye atembee katika sheria za uzima kwa kutotenda kosa, hakika ataendelea kuishi.+ Hatakufa. Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 33:15 Mnara wa Mlinzi,9/15/1988, kur. 22-23
15 na mtu huyo mwovu arudishe kitu kilichowekwa rehani+ na kulipa vitu alivyomnyang’anya mwingine,+ naye atembee katika sheria za uzima kwa kutotenda kosa, hakika ataendelea kuishi.+ Hatakufa.