15 “Nawe utakifanya kifuko cha kifuani cha hukumu+ kwa ufundi wa mtarizi. Sawa na ufundi wa efodi utakifanya. Utakifanya kwa dhahabu, uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora kilichosokotwa.+