24 Kisha Musa akawaleta karibu wana wa Haruni na kutia sehemu ya damu kwenye ncha ya sikio lao la kuume na kwenye kidole gumba chao cha mkono wa kuume na kwenye kidole kikubwa cha mguu wao wa kuume; lakini Musa akainyunyiza ile damu iliyobaki juu ya madhabahu kuizunguka pande zote.+