Mambo ya Walawi 17:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 naye asimlete kwenye mwingilio wa hema la mkutano+ ili kumtoa awe toleo kwa Yehova mbele ya maskani ya Yehova, mtu huyo atahesabiwa kuwa na hatia ya damu. Amemwaga damu, naye mtu huyo lazima akatiliwe mbali kutoka katikati ya watu wake,+
4 naye asimlete kwenye mwingilio wa hema la mkutano+ ili kumtoa awe toleo kwa Yehova mbele ya maskani ya Yehova, mtu huyo atahesabiwa kuwa na hatia ya damu. Amemwaga damu, naye mtu huyo lazima akatiliwe mbali kutoka katikati ya watu wake,+