21 Ikiwa mahali ambapo Yehova Mungu wako atachagua kuweka jina lake+ hapo patakuwa mbali nawe, basi utachinja sehemu ya mifugo yako au sehemu ya kundi lako ambalo Yehova amekupa wewe, kama vile ambavyo nimekuamuru wewe, nawe utakula ndani ya malango yako wakati wowote ambapo nafsi yako inaitamani.+