1 Samweli 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Ninajuta+ kwamba nimemfanya Sauli kuwa mfalme, kwa sababu amegeuka+ asinifuate mimi, naye hakutenda maneno yangu.”+ Nalo jambo hilo likawa lenye kumtaabisha Samweli,+ akaendelea kumlilia Yehova usiku kucha.+ 1 Samweli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 15:11 w98 4/15 6-7 1 Samweli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 15:11 Mnara wa Mlinzi,4/15/1998, kur. 6-7
11 “Ninajuta+ kwamba nimemfanya Sauli kuwa mfalme, kwa sababu amegeuka+ asinifuate mimi, naye hakutenda maneno yangu.”+ Nalo jambo hilo likawa lenye kumtaabisha Samweli,+ akaendelea kumlilia Yehova usiku kucha.+