1 Samweli 16:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi akatuma watu, naye akaletwa. Naye alikuwa mwekundu,+ kijana mwenye macho yenye kupendeza na mwenye sura nzuri. Ndipo Yehova akasema: “Simama, mtie mafuta, kwa maana huyu ndiye!”+ 1 Samweli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 16:12 Mnara wa Mlinzi (Toleo la Watu wote),Na. 5 2016, uku. 9
12 Basi akatuma watu, naye akaletwa. Naye alikuwa mwekundu,+ kijana mwenye macho yenye kupendeza na mwenye sura nzuri. Ndipo Yehova akasema: “Simama, mtie mafuta, kwa maana huyu ndiye!”+