-
Wagalatia 3:10Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
10 Kwa maana wote wale wategemeao kazi za sheria wako chini ya laana; kwa maana imeandikwa: “Mwenye kulaaniwa ni kila mtu asiyeendelea katika mambo yote yaliyoandikwa katika hati-kunjo ya Sheria kusudi ayafanye.”
-