-
Waebrania 3:16Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
16 Kwa maana walikuwa akina nani waliosikia na bado wakachokoza kuwe na hasira yenye uchungu? Kwa kweli, je, hawakufanya hivyo wale wote walioenda kutoka Misri chini ya Musa?
-