-
Furahia Maisha Katika Kumwogopa YehovaMnara wa Mlinzi—2007 | Machi 1
-
-
Yehova, “Mungu mwenye furaha,” anataka viumbe wake wa kibinadamu wafurahie maisha. (1 Timotheo 1:11) Hata hivyo, ili tufurahie maisha ni lazima tuishi kulingana na matakwa ya Mungu. Kwa watu wengi, hilo linamaanisha kubadili mtindo wao wa maisha. Wote wanaofanya mabadiliko yanayohitajika wanaona ukweli wa maneno haya ya mtunga-zaburi Daudi: “Onjeni mwone ya kuwa Yehova ni mwema; mwenye furaha ni mwanamume ambaye humkimbilia.
-