-
Yehova Ni Kimbilio LetuMnara wa Mlinzi—2001 | Novemba 15
-
-
12. Maelfu ‘huanguka’ ubavuni mwa nani, na kwa njia gani?
12 Mtunga-zaburi anaendelea kusema: “Ijapo watu elfu waanguka ubavuni pako. Naam, kumi elfu mkono wako wa kuume! Hata hivyo hautakukaribia wewe.
-
-
Yehova Ni Kimbilio LetuMnara wa Mlinzi—2001 | Novemba 15
-
-
Kwa sababu wamekosa kumfanya Yehova kuwa kimbilio lao, wengi ‘huanguka’ na kufa kiroho ‘ubavuni mwetu.’ Kwa kweli, watu “kumi elfu” wameanguka ‘mkono wa kuume’ wa Waisraeli wa kiroho wa leo. (Wagalatia 6:16)
-