-
“Mteule Wangu, Ambaye Nafsi Yangu Imependezwa Naye”!Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
18. Yehova hujulisha watu wake nini?
18 Sasa Yehova anawageukia watu wake, akisema: “Mimi ni BWANA [“Yehova,” “NW”]; ndilo jina langu; na utukufu wangu sitampa mwingine, wala sitawapa sanamu sifa zangu.
-
-
“Mteule Wangu, Ambaye Nafsi Yangu Imependezwa Naye”!Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Unabii kuhusu “mtumishi wangu” ulinenwa, si na mmoja wa miungu isiyofaa kitu, bali na yule Mungu mmoja tu aliye hai na wa kweli. Ilikuwa lazima utimie, na ulitimia.
-