-
“Uzishike Amri Zangu Ukaishi”Mnara wa Mlinzi—2000 | Novemba 15
-
-
Kwa nini tushikamane sana na mafundisho ya Kimaandiko na kupenda hekima na uelewevu? Ili ‘tujilinde wenyewe na malaya, na mgeni atubembelezaye kwa maneno yake.’ (Mithali 7:5) Naam, kufanya hivyo kutatulinda na njia zenye udanganyi na ushawishi za mgeni—mtu asiye na maadili.a
-
-
“Uzishike Amri Zangu Ukaishi”Mnara wa Mlinzi—2000 | Novemba 15
-
-
a Neno “mgeni” lilitumika kwa watu waliojitenga na Yehova kwa kutoshika Sheria. Hivyo, mwanamke asiye na maadili, kama vile kahaba, anaitwa “mgeni.”
-