-
Maneno ya Hekima kwa Moyo na AfyaAmkeni!—2011 | Agosti
-
-
“Moyo mtulivu ni uzima wa mwili wenye nyama.”—METHALI 14:30.
-
-
Maneno ya Hekima kwa Moyo na AfyaAmkeni!—2011 | Agosti
-
-
Likilinganisha watu watulivu na watu wenye hasira, jarida Journal of the American College of Cardiology lilisema hivi: “Uchunguzi wa hivi karibuni unaonyesha kwamba kuna uhusiano kati ya hasira na uhasama na [magonjwa ya moyo].” Kwa hiyo, jarida hilo lilisema: “Huenda kuzuia na kutibu [magonjwa ya moyo] kukahusisha . . . matibabu ya kawaida ya mwili na dawa, na pia kumsaidia mgonjwa ajifunze kuzuia hasira na uhasama.” Kwa ufupi, moyo mtulivu humfanya mtu awe na afya nzuri kama Biblia inavyosema.
-