-
“Nilitumwa Kufanya Hivyo”‘Njoo Uwe Mfuasi Wangu’
-
-
5. Ni kazi gani kuu ambayo Yesu alifanya maishani, na tutachunguza nini katika sura hii?
5 Pindi moja Yesu alisema: “Ni lazima pia nitangaze habari njema ya Ufalme wa Mungu . . . , kwa sababu nilitumwa kufanya hivyo.” (Luka 4:43) Yesu alitumwa kuhubiri na kufundisha habari njema ya Ufalme wa Mungu.b Leo, wafuasi wa Yesu wanafanya kazi hiyo pia. Hivyo, ni muhimu kwetu kuchunguza ni kwa nini Yesu alihubiri, habari alizohubiri, na mtazamo aliokuwa nao kuhusu mgawo wake.
-
-
“Nilitumwa Kufanya Hivyo”‘Njoo Uwe Mfuasi Wangu’
-
-
b Kuhubiri ni kutangaza habari au ujumbe fulani. Kufundisha kuna maana hiyo pia, lakini kunatia ndani kueleza habari waziwazi na kwa undani. Mwalimu mzuri atatumia mbinu za kufundisha zitakazomsaidia mwanafunzi wake kutumia mambo anayojifunza.
-