-
Jinsi Unavyoweza Kunufaika Zaidi Unaposoma BibliaFurahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
-
-
3. Unawezaje kutenga wakati wa kusoma Biblia?
Je, ni vigumu kwako kupata muda wa kusoma Biblia? Wengi wetu huhisi hivyo. Jitahidi kutumia ‘vizuri kabisa wakati wako.’ (Waefeso 5:16) Unaweza kufanya hivyo kwa kutenga wakati hususa wa kusoma Biblia kila siku. Baadhi ya watu hutenga muda wa kusoma Biblia asubuhi mapema. Wengine hupenda kusoma mchana, labda wakati wa chakula cha mchana. Na wengine husoma Biblia jioni kabla ya kulala. Ni wakati gani ambao utakufaa wewe?
-
-
Jinsi ya Kufanya Maamuzi MazuriFurahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
-
-
3. Fuata mwongozo wa Biblia
Kanuni za Biblia zinaweza kutusaidiaje kufanya maamuzi? Onyesha VIDEO, kisha mzungumzie maswali yanayofuata.
Yehova ametupatia zawadi gani ya pekee?
Kwa nini Yehova alitupatia uhuru wa kujiamulia?
Ametupatia nini ili kutusaidia kufanya maamuzi bora?
Ili uone mfano wa kanuni ya Biblia, soma Waefeso 5:15, 16. Kisha mzungumzie jinsi unavyoweza ‘kutumia vizuri kabisa wakati wako’ ili . . .
kusoma Biblia kwa ukawaida.
kuwa mume, mke, mzazi, mwana, au binti bora.
kuhudhuria mikutano ya kutaniko.
-
-
Chagua Burudani Inayomfurahisha YehovaFurahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
-
-
2. Kwa nini hatupaswi kutumia muda mwingi katika burudani?
Hata ikiwa burudani tunazochagua zinafaa, tunapaswa kuwa makini tusitumie muda mwingi sana. Kwa sababu huenda tukakosa muda wa kutosha kufanya mambo yaliyo muhimu zaidi. Biblia inatuhimiza ‘tutumie vizuri kabisa wakati wetu.’—Soma Waefeso 5:15, 16.
-
-
Chagua Burudani Inayomfurahisha YehovaFurahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
-
-
4. Tumia muda wako kwa hekima
Onyesha VIDEO, kisha mzungumzie swali linalofuata.
Ingawa ndugu katika video hiyo hakuwa akitazama jambo lisilofaa, tatizo lilikuwa wapi?
Soma Wafilipi 1:10, kisha mzungumzie swali hili:
Mstari huu unaweza kutusaidiaje kuamua muda tutakaotumia katika burudani?
-