-
2 Wafalme 20:10Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
10 Hezekia akasema: “Ni jambo jepesi kwa kivuli kuenda mbele hatua kumi (10) lakini hapana kurudia nyuma hatua kumi.”
-
-
Zaburi 135:6Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
6 Yehova anafanya kila kitu chenye anapenda kufanya+
Katika mbingu na juu ya dunia, katika bahari na katika sehemu za chini kabisa.
-