-
Yeremia 29:1, 2Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
29 Haya ndiyo maneno ya barua yenye Yeremia nabii alituma kutoka Yerusalemu kwa wazee wenye walibakia kati ya watu wenye walihamishwa, makuhani, manabii, na watu wote, wenye Nebukadneza alikuwa amepeleka katika uhamisho kutoka Yerusalemu kuenda Babiloni, 2 kisha Mufalme Yekonia,+ malkia mama ya mufalme,*+ maofisa wa makao ya mufalme, wakubwa wa Yuda na Yerusalemu, na mafundi na mafundi wa vyuma* kuondoka Yerusalemu.+
-