-
1 Samweli 17:4, 5Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
4 Kisha shujaa mumoja akatoka katika kambi za Wafilisti; jina lake lilikuwa Goliati,+ wa muji wa Gati,+ na urefu wake ulikuwa mikono sita (6) na shubiri moja.* 5 Alikuwa na kofia ya shaba juu ya kichwa chake, na alikuwa anavaa koti ya chuma yenye magamba yenye kuingiana-ingiana. Uzito wa koti hiyo ya chuma+ ya shaba ulikuwa shekeli elfu tano (5 000).*
-