-
2 Mambo ya Nyakati 20:20Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
20 Wakaamuka asubui sana siku yenye ilifuata na kuenda kwenye jangwa la Tekoa.+ Wakati walikuwa wanaenda, Yehoshafati akasimama na kusema: “Munisikilize, Ee Yuda na ninyi wakaaji wa Yerusalemu! Mukuwe na imani katika Yehova Mungu wenu ili muweze kusimama imara.* Mukuwe na imani katika manabii wake,+ na mutakuwa na matokeo ya muzuri.”
-