33 Je, kuko mungu yeyote kati ya miungu ya mataifa mwenye amekwisha kuokoa inchi yake kutoka katika mukono wa mufalme wa Ashuru? 34 Iko wapi miungu ya Hamati+ na Arpadi? Iko wapi miungu ya Sefarvaimu,+ Hena, na Iva? Je, imeokoa Samaria kutoka katika mukono wangu?+