Kutoka 15:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Adui alisema, ‘Nitafuatilia! Nitafikia! Nitagawanya vitu vyenye vinachukuliwa katika vita mupaka nitosheke!* Nitachomoa upanga wangu! Mukono wangu utawanyenyekeza!’+ Hosea 12:8 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 8 Efraimu anaendelea kusema, ‘Kwa kweli, nimekuwa tajiri;+ Nimepata utajiri.+ Na katika kazi yangu yote ya jasho, hawatapata jambo lolote lenye kuwa kosa ao lenye kuwa zambi.’
9 Adui alisema, ‘Nitafuatilia! Nitafikia! Nitagawanya vitu vyenye vinachukuliwa katika vita mupaka nitosheke!* Nitachomoa upanga wangu! Mukono wangu utawanyenyekeza!’+
8 Efraimu anaendelea kusema, ‘Kwa kweli, nimekuwa tajiri;+ Nimepata utajiri.+ Na katika kazi yangu yote ya jasho, hawatapata jambo lolote lenye kuwa kosa ao lenye kuwa zambi.’